![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhRGvzV9y57MVP31_8PPB2SdkB4d3wLSapOaRNa766OLOLm_pIs5ECydOM_lMHdZiRUuk0UerBKK43tbR7zKcfm_WUhXUq6UzqjHcWoKBUTu3KZKgPSwPgXZqCnXbWjVFhGmKpohbFj-TE7/s640/blogger-image--1163750911.jpg)
Friday, November 15, 2013
RENT HOUSE NEW MOVIE
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhRGvzV9y57MVP31_8PPB2SdkB4d3wLSapOaRNa766OLOLm_pIs5ECydOM_lMHdZiRUuk0UerBKK43tbR7zKcfm_WUhXUq6UzqjHcWoKBUTu3KZKgPSwPgXZqCnXbWjVFhGmKpohbFj-TE7/s640/blogger-image--1163750911.jpg)
Tuesday, January 22, 2013
Jamani wabongo tukae tukijua fani ya filamu TUNACHEMSHAA,mimi nitazungumzia upande mmoja ambao labda watayarishaji hawaoni umuhimu wake lakini tafsiri yake ni sawa na kumwonyesha mtu anayelia wewe ukatafsiri kuwa anacheka........Je, hapo hatuoni upotoshaji wa 'theme' za filamu zetu?
Nazungumzia TRANSLATIONS zinazofanyika katika baadhi ya filamu zetu za kibongo....ni aibu.....sijui hakuna editing baada ya kumaliza kutayarisha hizo filamu kabla ya kuzipeleka sokoni au niwe na wasiwasi na uelewa wa LUGHA inayotumiwa hasa UWEZO WA TRANSLATORS.Jamani, TAFSIRI za filamu hizo zinavyokosewa!
Kama lengo ni kuziingiza filamu zetu kwenye soko la dunia BADO kuna KAZI KUBWA ya kufanya,tafadhalini lugha ya kiingereza ni lugha ya kimataifa,tafuteni watu wanaoweza kutafsiri filamu zenu kwa usahihi na kama hilo ni gharama,tumieni lugha yetu tu ya kiswahili JAPO nayo mnaichakachua kwa kuizidishia kuiremba na kuiwekea viimbo vya kiingereza!!!
It not too late,just pull up your stockings,you are working hard,yes, kasoro ni hiyo tu.
Achaneni na translations za 'word to word' na zile za 'kihindi'...............
Nazungumzia TRANSLATIONS zinazofanyika katika baadhi ya filamu zetu za kibongo....ni aibu.....sijui hakuna editing baada ya kumaliza kutayarisha hizo filamu kabla ya kuzipeleka sokoni au niwe na wasiwasi na uelewa wa LUGHA inayotumiwa hasa UWEZO WA TRANSLATORS.Jamani, TAFSIRI za filamu hizo zinavyokosewa!
Kama lengo ni kuziingiza filamu zetu kwenye soko la dunia BADO kuna KAZI KUBWA ya kufanya,tafadhalini lugha ya kiingereza ni lugha ya kimataifa,tafuteni watu wanaoweza kutafsiri filamu zenu kwa usahihi na kama hilo ni gharama,tumieni lugha yetu tu ya kiswahili JAPO nayo mnaichakachua kwa kuizidishia kuiremba na kuiwekea viimbo vya kiingereza!!!
It not too late,just pull up your stockings,you are working hard,yes, kasoro ni hiyo tu.
Achaneni na translations za 'word to word' na zile za 'kihindi'...............
Subscribe to:
Posts (Atom)